Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kanda ya Mbeya na Rukwa, Cloud Chawene, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Semina ya Uchomaji Nyama Bora ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Safari Nyama Choma.Semina hiyo ilifanyika Airport Pub Mkoani Mbeya jana.
Jaji Mkuu wa mashindano ya Safari Nyama Choma akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Semina ya Uchomaji Nyama Bora ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Safari Nyama Choma.Semina hiyo ilifanyika Airport Pub Mkoani Mbeya jana.
Baadhi ya washiriki wa Semina ya Uchomaji Nyama Mkoa wa Mbeya wakimsikiliza jaji Mkuu ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Safari Nyama choma. Semina hiyo ilifanyika Airport Pub Mkoani Mbeya jana.
Picha ya pamoja ya wachoma nyama mkoa wa Mbeya wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mafunzo ya kuchoma nyama yaliyofanyika Airport Pub mkoani Mbeya jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...