Nyumba  hii   ipo katika hali nzuri  na  kuna  wapangaji wanaishi ipo Mkimbizi kata ya Mtwivila mjini  Iringa umbali wa Km 4 kutoka barabara kuu ya Iringa-Dodoma

Sifa  zake
> Ina vyumba  vitatu  vya kulala, choo cha  ndani, stoo,jiko na Sebule kubwa
>Hati  ipo nyumba   ipo na  vielelezo vyote nyeti vipo
>Eneo ambalo  limejengwa ni alisimia 30  ya  uwanja
> uwanja una  ukubwa wa Skwea mita 525
>Maji na umeme  upo
> Barabara inafika hapa nyumbani
Nyumba  hii  ilikukuwa ikiuzwa 
Tsh milioni 60 sasa ni TSh 35  maelewano  yapo
> Nyumba  ipo  eneo la Mkimbizi Bima  katika Manispaa ya  Iringa jirani na kituo cha  Yatima  cha  Deily Bread 
Kwa mawasiliano piga simu namba 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...