Katibu Mkuu wa Hazina anayeshughulikia mikopo ya nyumba kwa watumishi wa umma nchini Malaysia wakibadikishana uzoefu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Watumishi Housing na Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bwana Adam Mayingu, Afisa Mtendaji Mkuu wa wa TMRC na Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Dr. Fred Msemwa wakati ujumbe wa Watumishi Housing ulipokwenda kujifunza juu ya namna Serikali ya Malaysia inavyoshughulikia suala la nyumba kwa watumishi wa umma wiki iliyopita.
Home
Unlabelled
Ujumbe wa Watumishi Housing wafanya ziara ya Mafunzo nchini Malaysia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...