Wanaharakati wakiwa na mabango wakiwa nje ya ukumbi Lancaster House jijini London, Uingereza ambako mkutano maalumu wa kupambana na tatizo la ujangili duniani unafanyika leo. Rais Kikwete anahudhria mkutano huu maalumu ambao umeandaliwa na Mwanamfalme wa Uingereza, Prince Charles. Picha na Hans Pieter wa Globu ya Jamii, London.
Mkutano wa Kimataifa kuhusu Biashara Haramu ya Wanyamapori
(Conference on Illegal Wildlife Trade) unaanza rasmi leo katika
ukumbi wa Lancaster House.
Mkutano huu utakaohudhuriwa na jumla ya mataifa 47 na Mashirika
13 ya Kimataifa umeitishwa na Serikali ya Uingereza kwa lengo la
kujadiliwa na masuala maalum matatu kuhusiana na biashara
haramu ya wanyamapori. Masuala maalum uyanayotarajiwa
kujadiliwa ni Jinsi ya Kuimarisha Usimamizi wa Sheria (Law
Enforcement) na mchango wa mfumo mzima wa sheria za jinai
(criminal justice system) katika kukabiliana na biashara hiyo.
Aidha, utajadili Jinsi ya kupunguza hitaji la bidhaa zinazotokana na
wanyamapori (demand for wildlife products) na Jinsi ya kusaidia
Maendeleo Endelevu kwa Jamii zilizoathiriwa na biashara hiyo
haramu.
Mkutano huu utazungumzia wanyama aina ya tembo, faru na tiger.
Wanyama hawa wamechaguliwa kwa kuzingatia jinsi
wanavyoshambuliwa zaidi na makundi ya wawindaji haramu kwa
lengo la kuu pembe na ngozi zao.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete tayari ameshawasili Uingereza akiongoza
ujumbe wa maafisa kutoka Serikali ya Tanzania kwa ajili ya kushiriki
Mkutano huu.
Mkutano wa Kimataifa kuhusu Biashara Haramu ya Wanyamapori
(Conference on Illegal Wildlife Trade) unaanza rasmi leo katika
ukumbi wa Lancaster House.
Mkutano huu utakaohudhuriwa na jumla ya mataifa 47 na Mashirika
13 ya Kimataifa umeitishwa na Serikali ya Uingereza kwa lengo la
kujadiliwa na masuala maalum matatu kuhusiana na biashara
haramu ya wanyamapori. Masuala maalum uyanayotarajiwa
kujadiliwa ni Jinsi ya Kuimarisha Usimamizi wa Sheria (Law
Enforcement) na mchango wa mfumo mzima wa sheria za jinai
(criminal justice system) katika kukabiliana na biashara hiyo.
Aidha, utajadili Jinsi ya kupunguza hitaji la bidhaa zinazotokana na
wanyamapori (demand for wildlife products) na Jinsi ya kusaidia
Maendeleo Endelevu kwa Jamii zilizoathiriwa na biashara hiyo
haramu.
Mkutano huu utazungumzia wanyama aina ya tembo, faru na tiger.
Wanyama hawa wamechaguliwa kwa kuzingatia jinsi
wanavyoshambuliwa zaidi na makundi ya wawindaji haramu kwa
lengo la kuu pembe na ngozi zao.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete tayari ameshawasili Uingereza akiongoza
ujumbe wa maafisa kutoka Serikali ya Tanzania kwa ajili ya kushiriki
Mkutano huu.
Hakuna Mtanzania hapo, we are either not pro-active, or oblivious of what is going on in our country, or both!!
ReplyDeleteThank you so much for supporting us in this campaign against brutal killing of elephants for the benefit of the few senseless persons who want to get rich quickly.
ReplyDeleteTunawashukuru sana kutuunga mkono katika kampeni hii ya kuokoa tembo wetu kutokana na ujangili huu usiokuwa na imani kwa faida ya wachache wasio na huruma.
Mdau wa kwanza nakubaliana na wewe. Unajua kwetu ukiwa Mmbongo ukisema cha maana unapuuzwa, lakini ukiwa ngozi nyeupe unaheshimiwaa, waache watusemee.Ndiyo maana kuna kamsemo ketu kale, "Nabii apendwi kwao". Fikiria majanga yaliyo sababishwa na watu miaka ya karibuni. Wenzetu wa nchi za huko viongozi wangejiuzulu mara nyingi tu, sababu wameshindwa,ingawa mala nyingine si kosa lao. Ndiyo kuwajhibika, siye tupo pale pale. Tukihesabu idadi ya Tembo walivyokuwa awali na sasa, ni wazi uongozi wote ungeachia ngazi. Kwani ni majanga na aibu. Na kesi ya ndugu zetu Alibino hivo hivo, mpaka Wazungu waliposimamia ilo swala hilo ndiyo ukaona haki za ulinzi wa watu unatendeka.
ReplyDelete