Mgombea ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa (32), akiwapungia wananchi huku akiwa amebebwa alipowasili kwenye mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Mangalali, Kata ya Ulanda, Iringa Vijijini leo mchana.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba akiongoza msafara wa mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa aliyebebwa walipowasili kwenye mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Mangalali.
Mgimwa akiungana na wanakijiji kucheza ngoma ya asili ya kabila la Wahehe alipowasili kwenye mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Kibebe, Kata ya Ulanda mchana leo.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Mwigulu Nchemba (kulia), Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Joyce Msamba tavangu (katikati) na mgombea ubunge kupitia CCM,Godfrey Mgimwa wakicheza walipofika kwenye kampeni katika Kijiji cha Kibebe.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Big Up Mgimwa , We Love youuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
ReplyDelete