Mke wa Wazirii Mkuu,Mama Tunu Pinda akipokea shada la maua kutoka kwa Mtoto Raiyah Adam mara baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwanza,tayari kwa ufunguzi wa Tamashsa la Wanawake (Women Dialogue Front 2014) ikiwa ni sehemu ya maanzimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika hoteli ya JB Belmont.Tamasha hilo lililoandaliwa na Kampuni ya Mikaela.aliyesimama Kulia ni Kaimu Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Mkoa wa Geita,Mh. Said Magarula anaefuata ni Bi. Edith Mudogo Mwenyekiti wa Mikaela na mwisho ni Margareth Kazi mshauri wa Kampuni ya Mikaela.
Katibu wa Kampuni ya Mikaela,Bi. Idda Adam akimpokea Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda wakatipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Mwanza tayari kwa ufunguzi wa Tamasha la Wanawake lililoandaliwa na Kampuni ya Mikaela ikiwa ni sehemu ya kusherekea Siku ya Wanawake Duniani.Picha na PMO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...