Mkurugenzi wa taasisi ya saratani ya matiti (TBCF), Angela Kuzilwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu maradhi ya saratani ya matiti na shingo ya kizazi pamoja na umuhimu wa watu (wake kwa waume) kupima mara kwa mara. Kulia ni Grolia Kida ambaye ni mhasibu na  kushoto ni Keziah Makoyo ambaye ni Mkurugenzi wa mahusiano ya nje ya Taasisi hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Asante wakina mama kwa kutukumbusha mambo muhimu yanayoweza kutuepusha na kugundua saratani wakati tumeshachelewa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...