Mkurugenzi Mtendaji wa CSSC Bw. Peter Maduki akichukua Keki maalumu iliyoandaliwa katika kuukaribisha mwaka mpya 2014
 Wafanyakazi wakishiriki mchezo wa kuigiza katika sherehe hizo.Kutoka kushoto ni Bw. Renatus Sona, Bw. Prosper Mwendi na Bw. Liberatus Chonya mwenye kipasa sauti aliyekuwa MC katika shughuli hiyoa
   Mwenyekiti wa sherehe hiyo Bw. Renatus Sona akikabidhi zawadi kwa mmoja wa washindi katika sherehe hiyo Bi. Yuster Ng’owo
 Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi Bw. Renatus Sona akikabidhi zawadi kwa Bw. Werrick Mushi
 Picha ya pamoja ya washindi waliojinyakulia zawadi mbalimbali katika Sherehe hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa


  1. Mwaka upi tena jamani wakati tunafukuzia April tena!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...