Mkurugenzi Mtendaji wa CSSC Bw. Peter Maduki akichukua Keki maalumu iliyoandaliwa katika kuukaribisha mwaka mpya 2014
Wafanyakazi wakishiriki mchezo wa kuigiza katika sherehe hizo.Kutoka kushoto ni Bw. Renatus Sona, Bw. Prosper Mwendi na Bw. Liberatus Chonya mwenye kipasa sauti aliyekuwa MC katika shughuli hiyoa
Mwenyekiti wa sherehe hiyo Bw. Renatus Sona akikabidhi zawadi kwa mmoja wa washindi katika sherehe hiyo Bi. Yuster Ng’owo
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi Bw. Renatus Sona akikabidhi zawadi kwa Bw. Werrick Mushi
Picha ya pamoja ya washindi waliojinyakulia zawadi mbalimbali katika Sherehe hiyo
ReplyDeleteMwaka upi tena jamani wakati tunafukuzia April tena!