Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NSSF, Abubakar Rajabu (mwenye kofia nyeupe) akimkabidhi kadi ya uanachama wa NSSF, Ester Msalahi, ambaye ni mwalimu katika shule moja ya msingi ya binafsi. Kadi hilo iliandaliwa ndani ya saa moja kwa teknolojia mpya ya kisasa 'Mobile POS' ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa shirika hilo Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NSSF, Abubakar Rajabu (mwenye kofia nyeupe) akimkabidhi kadi ya uanachama wa NSSF, Ester Msalahi, ambaye ni mwalimu katika shule moja ya msingi ya binafsi. Kadi hilo iliandaliwa ndani ya saa moja kwa teknolojia mpya ya kisasa 'Mobile POS' ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa shirika hilo.Wajumbe wa Bodi ya NSSF pamoja na viongozi wa shirika hilo wakipata maelezo juu ya Mobile POS inavyofanya kazi. 
Wajumbe wa Bodi ya NSSF pamoja na viongozi wa shirika hilo wakipata maelezo juu ya Mobile POS inavyofanya kazi.Mmoja wa wafanyakazi wa NSSF tawi la Ilala (katikati) aliyezungukwa akitoa maelezo namna Mobile POS inavyorahisisha kazi ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa NSSF kwa muda mfupi. Mmoja wa wafanyakazi wa NSSF tawi la Ilala (katikati) aliyezungukwa akitoa maelezo namna Mobile POS inavyorahisisha kazi ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa NSSF kwa muda mfupi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera sana NSSF chini ya Uongozi mahiri wa Dr.Dau kwa kuonyesha mfano mwingine katika Utendaji Nchini Tanzania. Kweli kadi hizo ndio mpango mzima na zitapunguza usumbufu kwa Wanachama na kuongeza ufanisi wa kazi. Mmekuwa ni mfano wa kuigwa siku zote. NSSF Mnatishaaa. DC Oyeee !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...