Baadhi ya wanafunzi wakipata maelezo katika banda la Benki ya CRDB wakati wa  wakati wa maonesho kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu na kuandaliwa na Chama cha Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (AIESEC), kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzia kujifunza na kujitambua uwezo wao binafsi na mchango wao katika jamii.
 Ofisa Rasilimali Watu wa Benki ya CRDB, Petro Kashindye (kushoto), akifafanua jambo wakati wa maonesho kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu na kuandaliwa na Chama cha Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (AIESEC), kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzia kujifunza na kujitambua uwezo wao binafsi na mchango wao katika jamii.
 Baadhi ya wanafunzi wakipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Masoko wa Benki ya CRDB, Ninael Munuo waliotembelea banda la benki hiyo  wakati wa kongamano la wanafunzi lililoandaliwa na Chama cha Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (AIESEC), kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi wa vyuo vikuu kujifunza na kujitambua uwezo wao binafsi na mchango wao katika jamii. Kongamano hilo lilifanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
 Ofisa Rasilimali Watu wa Benki ya CRDB,Adam Geni (wa pili kushoto), akifafanua jambo kuhusu huduma zinazotolewa na Benki ya CRDB wakati wa kongamano la wanafunzi lililoandaliwa na Chama cha Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (AIESEC), kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi wa vyuo vikuu kujifunza na kujitambua uwezo wao binafsi na mchango wao katika jamii. Kongamano hilo lilifanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Ofisa wa benki hiyo, Casmir Fissoo.
 Masoko wa Benki ya CRDB, Ninael Munuo (kushoto), akitoa maelezo ya huduma mbalimbali zinazotolewa na benki ya CRDB kwa wanafunzi wa wanafunzi wa vyuo vikuu waliotembelea banda la benki hiyo  wakati wa kongamano la wanafunzi lililoandaliwa na Chama cha Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (AIESEC), kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi wa vyuo vikuu kujifunza na kujitambua uwezo wao binafsi na mchango wao katika jamii. Kongamano hilo lilifanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...