Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.

*ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001
                  *CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997
Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005.

Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo  sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia kupatikana kwa vyeti hivyo.

Tupigie simu kwenye number: +447939736412 ama +255756160237
Email: mwikigm@yahoo.com
Police ref:MPWE/RB/920/2013


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mdau wa kupotelewa na Vyeti na kuwa na mashaka kama jina linatumiwa isivyo halali:

    FANYA YAFUATAYO:

    Kwa kuwa Tanzania ya sasa sio msitu, huyo mtu atafahamika mara moja kwa,

    1.Wasiliana na Mifuko yote ya Akiba kadhaa kama NSSF kama atakuwa wameajiriwa kwa majina hayo na Sekta Binafsi, NPF na PPF kama ana ajira ya Serikali, GEPF kama wapo ktk ajira za Serikali Kuu ama fanya mawasiliano ya moja kwa moja kwenye Mamlaka Kuu ya Mifuko yote SSRA.

    2.Wasiliana na Idara ya Usalama Makao Makuu/WIZARA YA MAMBO YA NDANI (IDARA YA UPELELEZI WA MAKOSA YA JINAI NA UHALIFU WA MITANDAO) ili waweze kufika kwenye Ofisi Kuu za Mabenki kuona kama pana mtu amefungua Akaunti kwa majina hayo, Makampuni ya Mitandao ya simu kuona kama pana mtu amesajili simu kwa jina hilo.

    Kwa kuwa wewe upo nchini Uingereza kwa sasa watakaopatikana hapa Tanzania kwa majina hayohayo kama haitakuwa kufafana kwa majina watakuwa ndio Wahusika wa Uhalifu huo wa Identity Theft!

    ReplyDelete
  2. TCU pia wanaweza kusaida kama vyeti hivyo vimekwishatumika ktk kujiunga na Elimu ya juu.

    Pole sana mwana Mpwapwa Sec. mwenzangu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...