Mjumbe wa Kamati namba kumi na mbili ya Bunge Maalum la Katiba Goodluck Ole - Medeye akichangia jana mjini Dodoma wakati wa ziara ya Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta alipoitembelea Kamati hiyo kujionea kazi inayoendelea ya uchambuzi wa sura ya kwanza na Sita katika Rasimu ya Katiba mpya.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati namba nne ya Bunge Maalum la Katiba, DKT Sira Ubwa Mamboya(kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta(kulia) alipoitembelea Kamati hiyo jana mjini Dodoma kujionea kazi inayoendelea ya uchambuzi wa sura ya kwanza na Sita katika Rasimu ya Katiba mpya. Mwingine ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Christopher Ole Sendeka(katikati).
Mjumbe wa Kamati namba nne ya Bunge Maalum la Katiba, Dkt. Terezya Huvisa akiuliza swali wakati Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta(hayupo pichani) alipoitembelea Kamati hiyo jana mjini Dodoma kwa ajili kujionea kazi ya uchambuzi wa sura ya kwanza na Sita katika Rasimu ya Katiba mpya.
Mjumbe wa Kamati namba nne ya Bunge Maalum la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila akiuliza swali wakati Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta(hayupo pichani) alipoitembelea Kamati hiyo jana mjini Dodoma kwa ajili kujionea kazi ya uchambuzi wa sura ya kwanza na Sita katika Rasimu ya Katiba mpya. PICHA NA KAMATI YA BUNGE MAALUM LA KATIBA(BMK)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...