Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais  (Muungano),Mhe. Samia Suluhu Hassan (wa pili kulia) akihutubia Mkutano wa Mawaziri na Wadau wa Ziwa Tanganyika. Mhe Waziri Samia amezishauri nchi Wanachama zilizo katika Bonde la Ziwa Tanganyika kuunganisha nguvu zao kulinda Ziwa Tanganyika kwa manufaa ya kiuchumi na kiusalama ya nchi hizo. Kikao cha Wadau wa Ziwa Tanganyika kimefanyika leo Bujumbura katika Hoteli ya Ziwa Tanganyika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Huyo anatumia lugha ya picha. Anamaanisha msisitizo kuhusu umuhimu wa serikali ya Tanganyika.

    ReplyDelete
  2. Nikweli mdau wa kwanza wala si uongo....kiswahili ukikijua hutogombana na watu na wala hutoonekana mbaya......hahahaha...ujumbe umewasilishwa bila jasho wala kuchafua hewa.......

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 01, 2014

    Wadau wa Kwanza na wa Pili hapo juu:

    Ziwa Tanganyika haliwezi kuwa linaelea hewani (zingatieni Kanuni za Sayansi na Fizikia)LA MUHIMU NI LAZIMA WATU WAELEWE YA KUWA ZIWA TANGANYIKA HALIWEZI KUWA LINAELEA HEWANI (ISIWE KAMA HADITHI YA ABUNUWASI) BALI ''ZIWA TANGANYIKA'' LIPO NDANI YA NCHI INAYOITWA ''JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA''!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...