Baadhi ya washiriki wa Mashindano ya kutunisha misuli kushoto ni Robert Samson, Noah Sichembe na Muhammed Nauman ambao ni watunisha misuli watakaoshiriki katika shindano la kumtafuta mwanaume aliyejengeka kimisuli zaidi yatakayofanyika mwishoni mwa mwezi huu. Mashindano hayo yameandaliwa na kituo cha mazoezi cha Tanzaned Fitness Studio,iliyoko  Gymkhana, Dar es Salaam.
  Baadhi ya washiriki wa Mashindano ya kutunisha misuli kushoto ni Robert Samson, Noah Sichembe na Muhammed Nauman wakiwa katika stailitofauti za kutunisha misuli
 Mkurugenzi  Muhasisi wa mashindano hayo, Mohammed Alli  akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari hawapo pichani kuhusu Mashindano ya kumtafuta mwanaume aliyejengeka kimisuli zaidi yatakayofanyika mwishoni mwa mwezi huu. Mashindano hayo yameandaliwa na kituo cha mazoezi cha Tanzaned Fitness Studio,iliyoko  Gymkhana, Dar es Salaam (kulia) Katibu  Fika Wilson (kushoto) Mfalme wa Nyimbo za Asili Costa Siboka

 Mfalme wa Nyimbo za Asili Costa Siboka akizungumza na waandishi wa habari.
Robert Samson akionesha msuli wake

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 10, 2014

    Mbona hawaonyeshi misuli ya Miguu, ilibidi wavae chupi sio suruali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...