Wadau wakifurahia uzinduzi wa kilaji kipya cha Serengeti Platinum katika kiota cha maraha cha Escape 1 Mikocheni Mlalakuwa jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL),Ephraim Mafuru (kulia) akiungana na wadau kukaribisha kilaji hicho kipya
Fashifashi za uzinduzi wa kilaji kipya. Chupa hiyo ilishushwa na helikopta
Vijana wa THT wakinogesha hafla hiyo
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL),Ephraim Mafuru na Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Allan Chonjo wakisherehekea ujio wa Platinum
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...