Awali  ya  yote  tunapenda  kuwaomba  radhi  wadau  wetu kwa usumbufu uliojitokeza wa  kutokuwepo  hewani kwa zaidi ya siku 6  sasa  hii ni kutokana na matatizo ya  kiufundi ambayo yamejitokeza katika Francis Godwin Blog na Matukiodaimablog hazipo hewani kutokana na matatizo hayo ya kiufundi  japo  yanaendelea  kushughulikiwa .

Hivyo tunaomba  wadau  wetu kwa  sasa mnaweza  kupata habari na matukio mbali mbali katika mitandao hii 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...