Hiki ni kipindi kingine tena kitachokujia hivi punde kupitia MICHUZI TV, kama ulivyoambiwa hapo. Usikonde. Show hii na nyingine nyingi za kusisimua utazipata kirahisi sana kiasi utashangaa. Kaa chonjo, mboga ipo jikoni - karibu itaiva. We kaa mkao wa kula tu...
Home
Unlabelled
Najua wajua ya Capt. Gardiner G. Habash kuanza hivi karibuni ndani ya Michuzi TV - kaa chonjo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Aaaaaah! Kepteeeeeeeiiiin! Tumekumissi sana Keptein G Habash! Naona Michuzi anataka kututia uchizi. Huku Dr Licky huku wewe... he! Balaa. Hongera ankal kwa ubunifu! Je tutaonaga wapi hahya majambozzzz???
ReplyDeleteVipi ina maana Ankal anaanzisha kituo cha luninga? Au sijaelewa vizuri?
ReplyDeletekeep it up uncle na sie walala hoi tujivunie tv ya mpiganaji mwenzetu
ReplyDeleteNdio mdau hapo juu, Ankal anaanzisha kituo cha luninga kinaitwa "Michuzi TV"
ReplyDelete