Naibu waziri wa Fedha Mhe. Mwingulu Nchemba akizungumza na Madiwani wa Kongwa,Wenyeviti wa Serikali za Mitaa na Wilaya (Kongwa) ambo wamefanya Ziara ya kimafunzo leo kujionea uendeshaji wa Shughuli za Bunge.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Maalum Mhe.Marck Mwandosya akiwapungia mkono ishara ya kuwasalimia  Madiwani wa Kongwa,Wenyeviti wa Serikali za Mitaa na Wilaya Kongwa ambao wamefanya Ziara ya kimafunzo leo kujionea uendeshaji wa Shughuli za Bunge leo
 Mhe.Vicky Paschal Kamata kushoto akibadilishana mawazo na wabunge wenzake kutoka kushoto kwake,Mhe.Anna Abdallah,Mhe.Dkt.Mary Mwanjelwa ,Mhe.Gaudentia Kabaka(Waziri wa Kazi na Ajira) na Mhe.Rosemary Kasimbi Kirigini.

 Balozi wa Tanzania Ujerumani Mhe.Philip Marmo katikati akijadiliana jambo kutoka kulia Mwanasheria Mkuu,Mhe.Jaji Frederick Werema,Mhe.Vita Kawawa,Mhe.Dkt.Mary Mwanjelwa na Mhe.Beatrice Shelukindo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...