Mkuu wa Kitengo cha Oparesheni wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Eugen Massawe (kushoto) akikabidhi moja ya tuzo zinazotolewa kila mwaka na AIESEC kwa Rais wa Chuo cha Uongozi wa Fedha (IFM) Bw. Abubakar Ahmed (kulia) wakati hafla ya kila mwaka ya wadau wa taasisi ya wanafunzi ya AIESEC iliyofanyika jijini mwishoni mwa wiki.

 Mkuu wa Kitengo cha Oparesheni wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Eugen Massawe (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Majanga na Udhibiti wa Benki hiyo Bw. David Lusala (kulia) katika picha ya pamoja wakati hafla ya kila mwaka ya wadau wa taasisi ya wanafunzi ya AIESEC iliyofanyika jijini mwishoni mwa wiki
Mkuu wa Kitengo cha Oparesheni wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Eugen Massawe (kushoto) akikabidhi moja ya tuzo zinazotolewa kila mwaka na AIESEC kwa Rais wa Chuo cha Uongozi wa Fedha (IFM) Bw. Abubakar Ahmed (kulia) wakati hafla ya kila mwaka ya wadau wa taasisi ya wanafunzi ya AIESEC iliyofanyika jijini mwishoni mwa wiki. Wakishuhudia ni wanafunzi wa chuo cha IFM, Hafifa Bahfif (katikati), Said Yusuf (wapili kulia) na Erick Justice (wa kwanza kulia).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2014

    Kuna mtu anajificha picha ya kwanza na ya tatu, sijui kwanini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...