Mbunge wa Kigamboni na Mwakilishi wa Bara la Afrika katika Taasisi ya Kimataifa ya UKIMWI duniani (International AIDS Society), Dkt Faustine Ndugulile (MB) akipiga picha ya "Selfie" na Bibi Hellen Clarke, Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya UNDP na Waziri Mkuu Mstaafu wa New Zealand baada ya kikao cha pamoja cha Wabunge wa mabara mbalimbali kilichofanyika tarehe 21.07.2014 huko Melbourne, Australia.
Dkt Ndugulile MB akipiga picha ya "selfie" na mkurugenzi mkuu wa UNAIDS, Dkt Michel Sidibe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2014

    Huu mkutano ulikuwa uwe na wataalamu wa juu kabisa wa utafiti wa dawa ya kuponya UKIMWI lakini wote wameuwa kwenye ile ndege ya Maylasia Airline kule Ukraine. Dunia imerudi nyuma kwenye huu utafiti.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...