Mimi Reppyson Ishababaki na mke wangu Elida Fundi. Tunapenda kutoa taarifa ya kupotea kwa mtoto wetu kipenzi Meryline Reppyson.
Ameibiwa jana jioni na mtu tusiyemfahamu na hatujampata mpaka sasa hivi.
Tunawaomba Watanzania na watu wote mtusaidie kumtafuta mtoto wetu.
Maneno yanayosemwa kwamba kachukuliwa na baba yake si ya kweli kwani mimi ndiye baba yake mzazi na tunaishi pamoja na mke wangu.
Asanteni sana kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
Poleni, ila Ankal waombe watoa taarifa waongeze data
ReplyDeleteKitongoji cha Wapi?, mji gani?, wilaya gani? , nchi gani? , siku gani alipotea?
Helo mbona nasikia kachuliwa na baba yake?
ReplyDeletepoleni.atapatkana
ReplyDeletektka jina la yesu.
Poleni sana wazazi. Kuna uvumi instagram kua mtoto mmempata, kama ni kweli please update us otherwise Mwenyezi Mungu amlinde mtoto na awe kwenye mikono salama hadi atakapopatikana.
ReplyDeletemtoa maoni wa pili, umesoma maelezo kabla ya kutuma maoni yako? jamani watu wengine!!!!!!!!
ReplyDeleteBwana yesu simama sehemu yoyote aliko mtoto huyo. Fanya miujiza aliyemchukua amrudishe mwenyewe. Najua Yesu Unaweza.Amen.
ReplyDeleteAlikuwa wapi/na nani mara ya mwisho?
ReplyDelete