Jumuia ya watanzania Sweden inawakaribisha WaTanzania wote waishio nchini Sweden na nchi za skandinavia kuhudhuria kwenye Sherehe za TANZANIA DAY 2014 .

Sherehe itafanyika Stockholm  tarehe 27th Sept 2014 kufanyika katika Ukumbi utakua wa Bergshamra: Adress ni Bergshamra Skola, Hjortstigen 1, Bergshamra, Solna.
Kuanzia saa 15:00 jioni mpaka saa 03:00 Usiku. Kutakuwa na Nyama choma itayoambatana na viburudishi mbalimbali kuanzia 15:00 jioni mpaka saa 20:00 usiku.

Saa 20:00 mpaka 03:00 usiku Dj atatumbuiza kwa miondoko ya Bongo flava RNB ,Ragga ,Hip Hop na vionjo vingine vingi vya mziki unaotamba kwa sasa Duniani.

Lengo ni kuimarisha jumuia yetu ya yenye makao Makuu kwenye jiji la Stockholm .
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...