Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Dk.Juma Malik Akili,wakati alipotembelea maendeleo ya Ujenzi wa barabara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde,-Wete,Wete Gando na Gando –Ukunjwi,katika ziara ya Mkoa huo
 Mkurugenzi  Mtendaji  wa Kampuni ya Mecco Tanzania Abdulkadir Sheikh Bujet akitoa maelezo kwa Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipotembelea maendeleo ya Ujenzi wa Bara bara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde,-Wete,Wete Gando na Gando –Ukunjwi,katika ziara ya Mkoa huo
 Mkandarasi msimamizi wa Kampuni ya J.Burrow ya Dar es salaam Mohamed Hussein akitoa maelezo kuhusu utengenezaji wa barabara wakati Rais  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipotembelea maendeleo ya Ujenzi wa Bara bara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde,-Wete,Wete Gando na Gando –Ukunjwi,katika ziara ya Mkoa huo
 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa maagizo kwa watendaji kampuni ya Ujenzi wa barabara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde-Wete-Wete Gando na Gando –Ukunjwi,alipotembelea kuona maendeleo ya kazi zinazofanyika katika ziara ya Mkoa huo
 Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Raha Shehia ya Ukunjwi,Jimbo la Gando Mkoa wa Kaskazini Pemba wakijiorodhesha wakati walipotakiwa Wananchi walioathirika na Nyumba zao kutokana na Ujenzi wa Barabara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde-Wete-Wete Gando na Gando –Ukunjwi,wakati Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipofanya ziara leo katika Mkoa huo
 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi wa kijiji cha Raha Shehia ya Ukunjwi,Jimbo la Gando Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati alipofanya ziara leo katika Mkoa huo ya kutembelea  maendeleo ya Ujenzi wa Bara bara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde,-Wete,Wete Gando na Gando –Ukunjwi
Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa  maelekezo kwa Afisa Mdhamini wa Wizara Mindombinu na Mawasiliano Pemba   Hamadi Ahmed Baucha kuhusu malipo ya fidia ya Nyumba ya Mzee Mohamed Waziri Mbwa Mkaazi wa Kijiji cha Raka (katikati) wakati alipotembela ujenzi wa barabara tatu za Konde,-Wete,Wete Gando na Gando –Ukunjwi, Mkoa waKaskazini Pemba. 
Picha na Ramadhan Othman wa Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...