Meneja
wa Mawasiliano ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emma Oriyo ,
akifurahia tuzo ya udhamini kwa upande wa vinjwaji katika Maonesho ya 38
ya Biashara ya Kimataifa baada kuipokea kutoka kwa Makamu wa Pili wa
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi, Seif Alli Idd Dar es
Salaam.Katikati ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdalla Kigoda.
Home
Unlabelled
TBL YATWAA TUZO YA UDHAMINI MAONESHO YA SABASABA DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...