Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akifafanua jambo wakati wa mkutano maalum wa wananchama wa klabu hiyo uliofanyika kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika mkutano maalum wa klabu hiyo jijini Dar es Salaam 
Baadhi ya wanachama wa Simba wakihakiki kadi zao kabla ya kuingia katika ukumbi wa mkutano.
Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan Dalali akipitia nyaraka za klabu hiyo wakati akiingia katika ukumbi wa mkutano maalum wa Simba uliofanyika katika Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam.
 Wanachama wa Simba wakiwa katika mkutano huo.

Wanachama wa Simba wakipitia nyaraka mbalimbali wakati wa mkutano huo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Simba, Damasi Ndumabaro akizungumza wakati wa mkutano huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...