Askari wa Usalama barabarani wakiwa wamebeba mwili wa marehemu Koplo John John Masele aliyepata ajali  ya gari na kufariki  dunia hapo hapo maeneo ya Kisarawe, mkoa wa Pwani, juzi. Hii na baada ya mwili wake kuagwa jijini Dar es salaam kabla ya kusafirishwa kuelekea kwao Bunda mkoa wa Mara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...