Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom. kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni.
Kutoka kushoto: Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim, Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya ligi Silas Mwakibinga,Mwakilishi wa klabu ya Azam FC Phillip Alanzo na Mjumbe wa TFF Geoffrey Nyange wakionesha jezi za Azam FC walizokabidhiwa na mdhamini wa Ligi Kuu ya Vodacom kampuni ya Vodacom kwa ajili ya msimu wa 2014/2015. Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni.
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim(kushoto) akimkabidhi jezi Mwakilishi wa JKT Ruvu akishuhudiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga(katikati) wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu 14 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom.Vifaa hivyo zimetolewa na wadhamini w aligi hiyo kampuni ya Vodacom.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...