Mhe. Membe akimweleza jambo Balozi Childress wakati wa mazungumzo yao. |
Balozi Childress pamoja na Bw. Vincent Spera, Afisa kutoka Ubalozi wa Marekani wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani) |
Most read Swahili blog on earth
Mhe. Membe akimweleza jambo Balozi Childress wakati wa mazungumzo yao. |
Balozi Childress pamoja na Bw. Vincent Spera, Afisa kutoka Ubalozi wa Marekani wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani) |
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kuna vitu Watanzania huwa hatupendi kujifunza wala kuwasoma wenzetu... huwa hawa majamaa Wazungu , Wajapani hawapendi mambo ya kupeana mikono ila basi tuu...
ReplyDeleteHalafu kinachowaudhi zaidi ila wanashindwa kusema kwasababu ni tamaduni zetu..Utakuta mwingine akisalimia anashika mkono halafu anaushek karibia dk 10 yeye ameshika mkono kisa kusalimia...Hawapendi.. Me kuna mmoja alishaniambia kuwa hapendi.
Kingine pia ni tukumbuke mikono yetu wengine tuwapo makazini huwa tunashika vitu mbali mbali vitam tam kama zawadi vya kula na uwezekano wa kunawa kwa haraka hakuna maji karibu... Mikono mingine mtu anakuja kukung'angania kushika hujui yeye katoka wapi, kashika nini...Pengine amepanda daladala kashika chuma lile linashikwa na kila mmoja, pengine anaendesha gari usteling ule unashikwa na wengi, kashika viatu yaani bora tubadilikage..
Na pia tukianza hivi hata tutakuwa tushaanza kujifunza kuepuka Ebola...
We anon wa kwanza with all due respect unakosea. There is a chance hujasoma business communication, umesahau tamaduni zinamata depending on the environment.
ReplyDeleteUkiwa Japan then u adhere to their traditions in some sense, likewise mgeni akija Tanzania its the same thing anatakiwa ajue sisi tunapendelea nini. Kwahiyo unataka mjapani akija kwetu sisi tuanze kuinama inama.. c'mon
Kunawa mikono ni muhimu kila sehemu, and I am sure ofisi zetu TX zina vyoo