Leo katika kukumbuka siku ya Commando Luteni Rajab Ahmed Mlima, katika kumuenzi  wanafamilia wanafanya usajili wa "  Luteni RAJAB Ahmed MLIMA FOUNDATION."

Commando Luteni Rajab Mlima akiwa katika Special Forces ya Tanzania ndani ya Jeshi la kulinda Amani la Umoja wa Mataifa alifariki dunia katika mapambano na waasi wa M23 siku chake kabla ya kutomezwa kwa kundi hilo huko Kiwanja nchini DRC.

Luteni Rajab Mlima Foundation, itasimamia na kuendeleza mambo muhimu kwa jamii ambayo Luteni Rajab Mlima katika uhai wake aliyapa kipaumbele kama masuala ya elimu nakadhalika.

Zifuatazo nimbaadhi ya picha za Luteni Rajab Mlima katika uhai wake na akiwa katika mafunzo na kazi za kulinda amani.

Mwenyezi Mungu amweke mahali pema peponi.
Imetolewa na familia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...