Jina: Deo  Mbasa 
Vitu vilivyopotea ni begi lililokuwa na;
1. Laptop aina ya Accer
2. Simu kubwa ya Kirusi aina ya Oysters
3. Vyeti vya masomo
     a) Cheti cha form four - NECTA
     b) Cheti cha form six - NECTA
     c) Cheti cha Chuo (Digrii ya Kwanza ya Elimu Jamii na Ualimu) -UDSM
4. Vitambulisho mbalimbali ikiwemo kitambulisho cha Taifa.
Vyeti na nyaraka zote zinasomeka kwa jina la Deo Mbasa Daudi.
Mahali vilipopotelea ni maeneo ya Ofisi ya Posta Kijitonyama, jirani na TBC.
Taarifa imetolewa Polisi Mabatini, Kijitonyama kwa RB Namba KJN/RB/9576/2014.
Tafadhali naomba msaada wenu katika namba hizi;

Mbasa
 0765 191 108 / 0716 646 177

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...