Mkurugenzi
wa Usalama wa Mazingira Majini Bw. Tumpe Mwaijande kutoka Wizara ya Uchukuzi
kwaniaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Shaaban Mwinjaka akiongea na
wajumbe wa Umoja wanawake walio katika Sekta ya masuala ya Bahari Mashariki na
Kusini mwa Afrika (WOMESA) wakati wa ufunguzi wa mkutano wao wa mwaka unaofanyika
jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi
Msaidizi kutoka Shirika la Kimataifa linaloshughulikia Mambo ya Bahari (IMO)
Pamela Tansey akiwasilisha mada wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa Umoja
wanawake walio katika Sekta ya masuala ya Bahari Mashariki na Kusini mwa Afrika
(WOMESA) uliaofanyika leo jijini Dar es salaam.
Veronica Maina
akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa Umoja wanawake
walio katika Sekta ya masuala ya Bahari Mashariki na Kusini mwa Afrika (WOMESA)
uliaofanyika leo jijini Dar es salaam.
Picha ya pamoja ya
wajumbe wa mkutano wa mwaka wa WOMESA mara baada ya ufunguzi wa mkutano huo. (Picha na Eleuteri
Mangi –MAELEZO).
HABARI ZAIDI INGIA HAPA
HABARI ZAIDI INGIA HAPA
Huyu ni Bw. au Bibi?
ReplyDelete