Mwanzilishi
wa Taasisi ya Starkey Hearing Foundation, Bill Austin pamoja na Mbunge
wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka wakifunua kitambaa kuashiria
ufunguzi rasmi wa majengo matatu ya shule ya Msingi ya Loiborsoit
yaliyojengwa na mwanzilishi huyo kwa ajili ya jamii ya Kimasai katika
sherehe zilizofanyika eneo hilo wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara
jana.David na steven.Mwanzilishi
wa Taasisi ya Starkey Hearing Foundation, Bill Austin akipima sikio kwa
mmoja wa watoto waliohudhuria kliniki iliyokwenda sambamba na ufunguzi
rasmi wa majengo matatu ya shule ya Msingi ya Loiborsoit yaliyojengwa na
mwanzilishi huyo kwa ajili ya jamii ya Kimasai katika sherehe
zilizofanyika eneo hilo wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara jana.
Mwanzilishi
wa Taasisi ya Starkey Hearing Foundation, Bill Austin pamoja na Mbunge
wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka wakifunua kitambaa kuashiria
ufunguzi rasmi wa majengo matatu ya shule ya Msingi ya Loiborsoit
yaliyojengwa na mwanzilishi huyo kwa ajili ya jamii ya Kimasai katika
sherehe zilizofanyika eneo hilo wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...