J&M VIRGO WAMESHUKA MALI MPYA NA ZA UHAKIKA KABISA KWAKO WEWE MTANZANIA TOKA MAJUU ILI UWEZE KUNG'AA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MSIMU WA SIKUKUU ZA KRISMAS NA MWAKA MPYA.
J&M VIRGO WENYE UHODARI WA KUUZA VIWALO VYA NGUVU NA VYA KISASA JIJI LA DAR ES SALAAM ,WANAPATIKANA PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA,JENGO LA C&G PLAZA GHOROFA YA KWANZA.FIKA ILI UWEZE KUJIPATIA VITUZZ NA VIWALO VYA KIJANJA,POCHI BABKUBWA,MOKA MATATA NA MICHUCHUMIO YA HAJA KWA KINA DADA.
KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA LIBENEKE LAO
mmhm Hayo mavazi yanakuja na huyo binti au? Maana yupo mwaa
ReplyDeleteanonymous hapa juu umegonga penyewe. liliniacha hoi ni suala zima la nyonyo au Azam fresh!
ReplyDeletehahahaaa swadakta wadau yaani ni shida aisee nyonyo ndio mpango mzima
ReplyDeleteAZAM Fresh!!! aka Nyonyo ndio mpango mzima.
ReplyDelete