Ankal pokea taswira hizi kutoka jiji la Tanga ushee na wadau. Hapa ni Tanga Yatch Club ambayo mandhari yake ni tamu kweli kama unavyojionea
 Mandhari ya ufukwe wa jiji la Tanga
 Tanga Yatch Club
 Bustani mwanana inayofadhiliwa na 
 Mkonge hotel ndiyo Kilimanjaro hotel yetu
 Karibu Tanga
 Moja ya shule kongwe na maarufu sana jijini Tanga
 Gereji yetu kuu.

Globu ya Jamii inamshukuru na kumpongeza sana mdau huyu kwa taswira hizi nzuri. Bahati mbaya hapendi jina lake  lijulikane. Pia tunakaribisha aina hii ya taswira kutoka popote pale na unaweza kutumia WHATSAPP kuoitia nama +255754271266 ama email issamichuzi@gmail.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mandhari safi kabisa ya bahari Tanga, hivi ufukwe huu unautalii wowote?, hoteli inahitaji kuboreshwa (facelift) ipendeze.

    ReplyDelete
  2. Hospitali ya Bombo bado inaonekana ipo kama nilivyoina miaka ya 90.
    Tanga waja leo warudi leo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...