Mwili wa marehemu, Bi. Twitikege Mlagha Mafumu utaagwa kesho saa 4 asubuhi katika Hospitali ya Wilaya ya Temeke kisha kupelekwa katika Kijiji cha Kibumbe, wilayani Rungwe mkoani Mbeya ambapo atazikwa Desemba 17 alasiri.
Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wake
Baadhi ya wafanyakazi wa Jambo Leo wakiwa wamefika kuhani msiba wa Mama yao Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale.
HABARI ZAIDI INGIA HAPA
HABARI ZAIDI INGIA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...