Uvunjifu wa Sheria za usalama barabarani hasa kutofuata utaratibu wa Taa za kuongozea magari umekuwa ni kitu cha kawaida kabisa siku hizi hapa jijini Dar es Salaam,Pichani ni msururu wa magari ukikatiza kwenye makutano ya Bamaga mbele kabisa ya pale zilipo Ofisi za Shirik al Utangazaji Nchini (TBC) na ili hali taaza kuongozea magari hayo zikionekana kuzuia.Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. waachwe tu kuna anayefuata sheria huko?? kilichopo huko ni kuviziana tu lakini utaratibu hakuna na hilo linajithibitisha na haya maskandali yanayovuma sasa ....sheria hakuna...

    ReplyDelete
  2. Emanuel P. M.December 03, 2014

    Naomba kueleweshwa, kosa liko wapi hapo ? taa nyekundu inayoonekana pichani ni kwa ajili ya magari yanayotoka Mwenge kuelekea mjini, haya yanayopita ni ya kutoka mjini kuelekea Mwenge....madereva hawa si wanastahili kuombwa radhi kwa kuchafuliwa weledi wao ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...