Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akiongozana na ujumbe wake kutembelea Kata ya Makiba iliopo kwenye kijiji cha Valeska Wilayani Arumeru akiwa katika ziara ya Kikazi leo.
Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akisikiliza maelezo ya mradi wa maji toka kwa mmoja wa watendaji katika Kata hiyo.Kushoto ni Diwani wa Kata ya Makiba,Bi. Mwanaid Kimu.
Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akiangalia kisima cha maji katika kijiji cha Majengo kata ya Makiba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...