Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Chato,Mh. John Pombe Magufuli (aliesimama) akizungumza na Watendaji mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliochaguliwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivi karibuni kwenye Jimbo hilo,wakati alipokutana nao kwa lengo la kuwapongeza kwa kuaminiwa na kuchaliwa na wananchi.
Sehemu ya Watendaji mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Chato waliochaguliwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivi karibuni,wakimsikiliza Mh. Magufuli (hayupo pichani).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...