Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Msajili wa Mahakama ya Rufaa Bibi Katarina Tengia Revocati ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi muongozo wa kazi Msajili wa Mahakama ya Rufaa Bibi Katarina Tengia Revocati ikulu jijini Dar es Salaam leo.(Picha na Freddy Maro).
Hivi hata Civil Servants wanaapishwa siku hizi - Is there no code of conduct for them?
ReplyDeleteNaona kila siku watu wanaapishwa.
Hongera sana mh. Catherine Revocat, MUNGU akubariki sana. Nakumbuka wakati ukianza kazi ukiwa bado msichana, RM Mbeya. Sasa ni mama mwenye familia na wadhifa mkubwa, MUNGU akubariki sana.
ReplyDelete