Meneja Mauzo wa Hyundai, Bw. Alen Nkya (kushoto)
akijadiliana na Meneja Mradi wa Dangote Industries, Mhandisi Markus
Abayo (kulia) kuhusu mitambo ya ujenzi ya kisasa katika Mkutano wa
Kimataifa wa Teknolojia uliofanyika Nairobi. Anayeshuhudia (katikati) ni
Afisa Mikopo wa Hyundai, Bw. Manase Mpayo. Dangote Industries wanatumia mitambo ya Hyundai Excavator, Wheel Loader na Forklift katika miradi ya cement, n.k.
Home
Unlabelled
HYUNDAI yashiriki Mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mitambo ya Ujenzi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...