Na  Bashir  Yakub

Wapo watu ambao shida yao ni kuandaa wosia  lakini tatizo  ni  waanzeje.  Je waandike kama barua, je waandike  kama makala,  je waandike  kama maombi ya  zabuni, je waandike kama notisi,  waandikeje hasa. Wapo watu ambao wameshaandika wosia lakini wameandika hovyohovyo tu bila mpangilio maalum. 

Ikumbukwe kuwa wosia mbovu usio katika taratibu na mpangilio wa kisheria ni wosia ambao baada ya kufa kwako unaweza kuleta ugomvi mkubwa na hatimaye inaweza kuamuliwa kuwa wosia huo si halali hata kama ni kweli uliuandika  na hivyo kusababisha yale yote uliyotaka yafanyike baada ya kufa kwako yasifanyike. 

Aidha hili ni tatizo ambalo  makala  haya  yaweza kusaidia  kulimaliza kwa atakayesoma. Mfano huu au  sample hii hapa chini ni ya kitaalam  na  ya kisheria  hivyo  mtu anaweza kuinakili hivihivi ilivyo  na akaitumia  kuandalia wosia wake.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...