Mkurugenzi mkuu wa TFDA, Hiiti Sillo (katikati), akiwa na Mkuu wa Mkoa
wa Mtwara, Mhe. Halima Dendegu (wa kwanza kulia), katika ziara yake ya
kikazi mkoani Mtwara ikiwa ni harakati za awali za TFDA kufungua ofisi
ya Kanda ya Kusini kwa lengo la kusogeza huduma karibu na wananchi.
Kushoto ni Mfamasia wa mkoa wa Mtwara Bw. Musa Nasoro.
Home
Unlabelled
TFDA kufungua ofisi kanda ya kusini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...