Mwalimu Kassim Musa- Biolojia Na Kemia (kushoto) na mwalimu Erasto Daniel Fizikia na Hisabati (Kulia) wa shule ya sekondari Ntyuka iliyoko Dodoma wakijiandaa kuingia maabara na wanafunzi wao.

Annastazia Rugaba – BRN

“Sasa ninaifurahia kazi yangu. Ninajisikia vizuri kuwa mwalimu. Natamani BRN ingeanza toka kitambo. Hata hivyo naona mabadiliko makubwa yanakuja tukiendelea na kasi hii…” hayo yalisemwa na mwalimu Geza Musfapha Juma ambaye ni Mkuu wa shule ya sekondari Ntyuka iliyoko Dodoma, azungumza na watendaji wa BRN waliotembelea shule yake mwishoni mwa mwezi wa kwanza Mwaka huu. 

Mwalimu Juma alikikiri kuwa tangu kuanzishwa kwa BRN, shule yake imeanza kufanya vizuri. Mwaka 2013 matokeo ya kidato cha nne yalikuwa mabaya sana kwani wanafunzi walikuwa watoro. Kati ya wanafunzi 68 wa kidato cha nne wa mwaka 2013, ni wanafunzi watano tu ndio waliokuwa na bidii yakuja shuleni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...