Wafanyakazi wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini Arusha wakiwa na viongozi wa Chama cha soka wilaya ya Hai kwa ajili ya kukabidhi msaada wa vifaa vya michezo vilivyotolewa kwa vilabu 10 vinavyoshiriki ligi daraja la nne ngazi ya wilaya .
Meneja Mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ,kanda ya Kaskazini,Edmund Rutaraka akikabidhi jezi kwa Katibu wa Chama cha soka wilaya ya Hai(HAIDAFA) Cuthbert Mushi huku zoezi hilo likishuhudiwa na wajumbe wa kamati ya utendaji ya chama hicho Fauzia Lema na Marry Munuo(Mwenye kofia) wengine ni wawakilishi wa mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment kwa mkoa wa Kilimanjaro,Loserian  Laiser na Filbert Furaha.
Baadhi ya vifaa vya michezo vyenye thamani ya kiasi cha shilingini Milioni 5 vilivyotolewa na kampuni ya Megatrade Investment ya Jijini Arusha kwa ajili ya vilabu 10 vinavyoshiriki ligi daraja la nne ngazi ya wilaya ya Hai.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya
 Jamii kanda ya Kaskazini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...