Afisa mtoa damu wa mpango wa Taifa wa Damu Salama, Daudi Mkawa akimtoa damu mfanyakazi wa Vodacom Tanzania,Lizian Mushi.Wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipojitolea kuchangia damu kwa hiari ili kuokoa maisha ya watanzania wengine uchangiaji huo ulifanyika makao makuu ya vodacom Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania kitengo cha M-PESA,Gabriel Urasa akiwa amejilaza kwenye kitanda maalum akichangia kwa hiari wakati wa zoezi la kuchangia damu salama ili kuokoa maisha ya watanzania wengine. Uchangiaji huo ulifanyika katika makao makuu ya kampuni hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania kitengo cha Usafirishaji Benworth Komago akitolewa damu na afisa mtoa damu wa mpango wa Taifa damu salama,Peter Chamu wakati wa uchangiaji wa dumu salama iliyochangiwa kwa hiari na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Two things, aidha huyu dada muoga wa sindano au huyu kaka kweli anamuumiza..

    ReplyDelete
  2. Kwasababu sio sindano aliyoizowea.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...