Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa (mwenye kilemba) akioneshwa chakula kilichohifadhiwa kwenye kituo cha NFRA kanda ya kati mapema leo alipofanya ziara kituoni hapo kukagua akiba ya chakula.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa (mwenye kilemba) akikagua akiba ya chakula kilichohifadhiwa kwenye kituo cha NFRA kanda ya kati mapema leo alipofanya ziara kituoni hapo eneo la kizota.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa (kushoto) akifanya ziara ya ukaguzi kwenye kituo cha hifadhi ya chakula NFRA kanda ya kati mapema leo alipotembelea kituoni hapo eneo la kizota kujionea kiasi cha akiba ya chakula iliyopo, kulia ni meneja wa NFRA Kanda ya Kati Deusdedit Mpazi.
 Sehemu ya chakula cha akiba kilichohifadhiwa kwenye kituo cha hifadhi ya chakula NFRA kanda ya kati, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa amemuagiza Meneja wa NFRA Kanda ya Kati kufanya taratibu zinazohitajika ili kuingiza chakula hiko kwenye masoko kusaidia kupunguza bei ya chakula  sokoni ili wananchi wanufaike.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Nanihii amekula chakula chote ghalani.

    ReplyDelete
  2. Kha! wee anony wa kwanza ushindwe..Lol!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...