Pichani juu ni mmoja wa majeruhi akisaidiwa na msamaria mwema mara baada ya kupata ajali.
Mtu mmoja amefariki dunia huku wengine 25 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Jordan lenye usajili wa namba T 650 AQZ lililokuwa likitokea jijini Mwanza kwenda mkoani Arusha na kupinduka leo wilayani Nzega,Tabora.Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana.
Baadhi ya Majeruhi mara baada ya ajali hiyo kutokea.
Baadhi ya Abiria wakiwa nje ya basi la Jordan mara baada ya kupinduka wilayani Nzega mkoani Tabora na kupelekea kifo cha mtu mmoja.
Mmoja wa abiria akifanya mawasiliano baada ya kunusurika kifo basi la Jordan mara baada ya kupinduka
wilayani Nzega mkoani Tabora na kupelekea kifo cha mtu mmoja.






Mimi sitaelewa wala kuelewa juu ya ajali Tanzania. Nafikiri kuna kitu tumemkosea Mungu turudi kwake. Dhambi zinazotendwa Tanzania hazimpendezi Mungu ndio sababu ya haya yote. Turudi kwa Mwenyezi Mungu.
ReplyDeletemazezeta wakiwa wengi kwenye kiti cha dereva abiria msichoke kulia ovyo hata kutoa POLE wengine tumesha choka tukiendelea kufanya hivyo na sisi tutakuwa hayawani.
ReplyDeletenchi imezidi uzembe kila sehemu inahitaji mabadiliko na wenye nchi wakali ajabu wamezowea shida.
hivi vifo sio kazi ya mungu tuache kumsingizia kila siku wenye lawama bebeni mizigo yenu sasa.
mdau.
kilioni{machozi yamekauka}
madhehebu na misikiti tupige makelele, tufunge tusali tumuombe mwenuezi MUNGU atuepushe na ajali hizi jamani, tuzifunge hizi nguvu za giza
ReplyDelete