Mhandisi
wa Sunnrgy,Erick Mhema akielezea wadau mbalimbali kifaa cha kuvuta maji kutokana na
kutumia Nishati ya jua (Solar Energy),wakati wa mkutano wa Wadau wa Nishati ya
Jua na Upepo iliyofanyika leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es
Salaam.
Kamishina
wa Nishati na Petroli wa Wizara ya Nishati na Madini,Mhandisi Hosea
Mbise akizungumza na waandishi na vyombo vya habari katika mkutano wa Wadau wa
Nishati ya Jua na Upepo iliyofanyika leo katika Hoteli ya Serena jijini
Dar es Salaam.
Mhandisi
wa Sunnrgy,Erick Mhema akizungumza na waandishi na vyombo vya habari katika
mkutano wa Wadau wa Nishati ya Jua na Upepo iliyofanyika leo katika
Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...