Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya kampeni ya usafi wa mazingira Omary Kombe akizungumza na Baadhi ya waandi wa habari hawapo pichani leo katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO Jiji Dar es Salaam,juu ya kuhamasisha kufanya usafi wa mazingira kila jumamosi ya mwisho wa mwezi, kushoto ni Rais wa serikali ya wanafunzi Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere,Komanya Eliasi kulia ni Kapeni Meneja,Braiton Blige.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya kampeni ya usafi wa mazingira Omary Kombe akipokea ufagio kutoka kwa,Mwenyekiti kwa pamoja tunaweza,Ever Pius, kwaajiri ya kuhamasisha usafi wa mazingira hapa nchini.
Baadhi ya waandishi wa habari walio hudhuria
katika mkutano wa kuhamasisha kufanya usafi wa mazingira kila jumamosi ya
mwisho wa mwezi katika ukumbi wa Idara
ya habari MAELEZO Jiji Dar es Salaam leo. PICHA NA EMMANUEL MASSAKA,GLOBU YA
JAMII.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...